Agness Masogange"Makalio Yangu Hunifanya Nikose Amani Mtaani"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


VIDEO Queen maarufu Bongo, Agnes Gerald ‘Masogange’ ambaye muda mwingi amekuwa akiishi Afrika Kusini ameelezea jinsi maisha ya Bongo yalivyomchosha huku usumbufu anaopata kutokana na makalio yake makubwa ikiwa moja ya sababu.

Akipiga stori mwandishi wetu, Masogange alisema umbile lake hilo limekuwa likimfanya akose amani anapokatiza mitaani, tofauti na Sauzi ambako wanawake wengi wamefungashia huku yeye akionekana ‘cha mtoto’.


“Muda mwingi niko Sauzi, Bongo miyeyusho na hili umbo langu nimekuwa nikisumbuliwa sana na wanaume lakini Sauzi hili langu la kawaida, wengi wamefungashia ile mbaya, kwa hiyo muda mwingi nitakuwa huko, huku nitakuwa nakuja na kuondoka,” alisema Masogange.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Wanakuzingua tu mbona upo kawaida

    ReplyDelete
  2. Hujaona makalio nn ww

    ReplyDelete
  3. Ebu jaribu kavaa nguo za kiheshima na then utaona tofauti yake

    ReplyDelete
  4. Ivi ilo yako unalosema kila siku mbona silicon?? Acha kujipaisha weweeeee

    ReplyDelete

Top Post Ad