Alichokiandika Chidi Beenz Baada Ya Kusikika Ugomvi Wake Na Ngwair.

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Siku ya jumamosi katika ukumbi wa disco wa Ambassador Lounge kulitokea ugomvi kati ya rapper kutoka Ilala, Chidi Benz pamoja Ngwair kutoka #DenjaVuMusic.
Ugomvi huo ulitokea baada ya Chidi kuonekana kutofautiana na Dully Sykes alipokuwa akiingia ndani ya ukumbi huo, na baadae Dully alipoamua kuondoka ndio Ngwair alimuliiza Chidi inakuwaje unamzingua Dully??!
Hapo ndipo inaonekana ugomvi kuanzia na rapper huyo kuanza kumrushia mwenzie lugha chafu na kutaka kuanza kupigana...
Chidi ameonekana kuomba msamaha kwa fans wake na kwamba yeye hana matatizo yeyote na Ngwair... check alichoandika Chidi Beenz hapa chini:


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. we huna jipya..kaungane na kina isha mashauz au hadja kopa mkaimbe taarabu

    ReplyDelete
  2. Msamaha haupo kwa wa2 km nyny.......Chdy umezngua sn

    ReplyDelete
  3. Msamaha haupo kwa wa2 km nyny.......Chdy umezngua sn

    ReplyDelete

Top Post Ad