AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Risasi Mchanganyiko, AY amesema kwa sasa ana mambo mengi yanayomfanya ashindwe kuigiza lakini kama kuna mwandaaji wa filamu akimuhitaji afanye muvi, basi ajipange na awe na mkwanja mrefu wa kumpa.
“Nilipanga kuandaa muvi na (Hamis) Mwinjuma ‘MwanaFA’ lakini mambo yamekuwa mengi ila dhamira ipo palepale kama muda ukipatikana tutafanya muvi wadau wangu wakae mkao wa kula,” alisema.
Pamoja na hayo, Ay aliongeza kuwa kati ya wasanii anaowakubali katika tasnia hiyo ni Irene Uwoya kwani anafanya filamu kwa uhalisia.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
hakuna msanii bongo anaehustle ka wewe..uko leve nyingine..big up
ReplyDeleteaminia mtoto wa yessayaaa
ReplyDelete