AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkali kutoka kundi la Wakacha maarufu kama Cyrill a.k.a Kamikaze, tokea Singida ambae kwa sasa anatikisa industry ya muziki, kupitia na track yake iitwayo Nafanya ambayo amempa shavu Jux, one of the crew members in Wakacha.
Not only that... Cyrill anafanya vyema pia kupitia joint nyingine iitwayo Utamu Wa Chocolate aliyomshirikisha shombe shombe, Bob Junior
Nyota huyu, ameamua kumtangaza Manager wake mpya atakayesimamia kazi zake kuanzia sasa...
Mcheck hapa chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK