Diamond: Msimamo wangu wa kujenga msikiti bado uko pale pale!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ikiwa imepita mda sasa tangu alipogusia swala la kujenga msikiti, ambao utakuwa kumbukumbu yake kwa watakaoutumia, na ikiwa ni
njia moja wapo ya kurudisha katika jamii, Diamond amesema msimamo wake bado uko palepale.

"Sasa hivi mimi nina maeneo yangu, kwasababu ninapokuwa na hela mi nakuwa muoga sana kuwekeza najitahidi sana kununua nunua viwanja au kama hivi vijumba vidogo vidogo vya kuvunja maeneo tofauti tofauti.

Sasa hivi niko plani kwamba niujengee sehem gani, nitengeneze msikiti sehemu ambayo itakua ni nzuri,msikiti ambao hata kesho na kesho kutwa mi nikifa, mababu vizazi na vizazi viwe wanaswali pale kama msikiti ambao aliutengeneza kijana wetu Diamond.Watu wanaswalia, mi naamini itanipa baraka kubwa sana, na soon too naimani mwenyezi Mungu naimani atanisaidia, nitangeneza huo msikiti" amesema Diamond licha ya kuwa na plani ya kujenga mskiti huo.

Iliripotiwa kuwa kwa sasa ameshakamilisha ujenzi wa nyumba ya mama yake mzazi iliyogharimu zaidi ya shilingi za kitanzania milioni 260
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

10 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. mziki ktk uislam ni haram..chanzo cha ela unachotaka kujenga mckit czani kama kwa Mungu kutakuwa na malipo..maybe pesa umepatia ktk njia ya halali kama mziki basi hiyo pesa itakua haramu kama muziki unavyochukuliwa haram ktk uislam

    ReplyDelete
  2. Diaomond usicheze na dini mdogo wangu.. Hela ya kupata club na kwenye shoo za kukata viuno usijenge nazo msikiti.. Hela yako ya mziki na mziki ni haramu.. Sio kama nakuhukumu ila fikiria hilo kakangu.. Msikiti ni sehemu ya ibada.!

    ReplyDelete
  3. Mheshimiwa diamond..nadhani nia yako ni njema ktk ujenzi wa huo msikiti labda hukupata maelekezo mazuri kabla ya kufanya uamuzi huo..biashara ya muziki haikubaliki kwa dini ya kiislamu kama huo msikitini utaujenga kwa fedha za kazi hiyo au kama una kipato chengine ambazo hakikuhusiana kabisa na muziki..mimi ni kijana kama wewe na napenda pia nyimbo zako nina mapungufu kama yako..ningekushauri kama unataka kusaidia na kutegemea malipo na baraka mungu kuna vitu vingi vya kufanya vitawaneemesha walio na wasio waislamu..kwa mfano ujenzi wa visima vya maji, barabara, shule, vitengo vya mayatima na kadhalika, huo ni ushauri wangu tu, waweza pata ushauri mwema kwa wengine

    ReplyDelete
  4. This comment has been removed by the author.

    ReplyDelete
  5. Hzo ni roho mbaya na za chuki. Hzo mlizopata kihalali mbna hamjajenga? Na kwa nn umuhukumu kwa chuki zenu kwan nyie mnaijua kesho yenu? Na kwa usaf gan mliokuwa nao mpaka muijue dhambi? Hilo ni jasho lake muachen tena yy ukute ataiona pepo kuliko nyie wanafki

    ReplyDelete
  6. This comment has been removed by the author.

    ReplyDelete
  7. Diamond hicho kipaji naamini mwenyezi mungu ndio kakupa nasi binadamu hata msikiti ukijenga nikwakipaji alichokupa yeye mwenyezimungu

    ReplyDelete
  8. Diamond usimtie m/mungu na hela yako ya kharam huyo hata ukijenga huo msikiti ni kazi bure tu.

    ReplyDelete
  9. Diamond usimtie m/mungu na hela yako ya kharam huyo hata ukijenga huo msikiti ni kazi bure tu.

    ReplyDelete
  10. mwamba unacheza na dini ee...we unatakajenga msikiti na hela zako za haramu?wacha kumkufuru mungu.

    ReplyDelete

Top Post Ad