AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kauli ya msanii huyu imekuja mara baada ya mwandishi wa DarTalk kupiga naye story za hapa na pale ndipo alipounganisha ishu hiyo, kwa kudai kuwa si kwamba hataki kuolewa bali hataki kuishi ndani ya ndoa na kuwa tegemezi kwa mwanaume.
“Sitaki kuishi na mwanaume kabla hajakumbali kunipa muda wa mimi kutafuta pesa najua anaweza kuwa na uwezo wa kila kitu lakini hivyo vyote vitakuwa vya kwake na mimi natakiwa kuwa na mali zangu, lakini bila hivyo nitazeekea kwangu,” alisema.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
kutirii double cabin, kutirii kabati ya mbehoo, kutirii radio ya picha nk kwa nyie wamachame kwenu ni kawaida.
ReplyDeleteHapo upooo chako ni chako2 .mwanamke kujushughulisha kubweteka ilikuwa zaman.nadhan umenipata
ReplyDelete