Kibali Cha Ghorofa Lililoporomoka Jana Utata Mtupu!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kwa Habari nyepesi Nyepesi nilizo zipata Kibali cha ghorofa lililoporomoka jana kwenye makutano ya Barabara za Morogoro na Indira Ghandi,ni utata mtupu. Kwa mujibu wa nyaraka zilizopo Manispaa ya Ilala,kibali hicho kilichotolewa kwa Salu Consult,kinaonesha kuwa jengo hilo lilipaswa kuwa la ghorofa kumi na si kumi na sita. Nani alibadili kibali? Kwanini? Serikali isipokuwa makini,majengo marefu yatakuwa maangamizi yetu!
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad