Kina Dada, Kwani Kuolewa ni lazima?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Nimeuliza hili swali kwa sababu kwenye jamii yetu baadhi ya kina dada ambao hawajaolewa hadi umri fulani wanakuwa 'desparate' na kupelekea kuchukua maamuzi yanayoshangaza au hata kuwaumiza.
Ingawa ni wachache sana wanaokiri kwa maneno frustrations zao kwa watu, tumekuwa tukishuhudia wengi wao wakikiri kwa matendo yao.

Tunashuhudia kina dada wakisacrifice heshima zao na 'kulazimika' kufanya vitu vya ajabu ili tu kumridhisha mchumba.

Tunashuhudia kina dada wakifyatua mimba kila siku zilizotokana na 'kutii' hamu ya wachumba ambao wanaishia kuwatelekeza

Tunashuhudia kina dada wakiingia katika mahusiano na wanaume lukuki kwa sababu tu wanataka ku-maximize chance ya kuolewa.

Tunashuhudia kina dada wakivunja mahusiano na wanaume wanaowapenda kwa sababu wamekutana na aliye tayari kuoa hata kama hawapendani...

Mbaya zaidi wapo wadada wanaoona kabisa unreliability ya ndoa wanazoingia lakini wanasema "bora tu niolewe mwaya, hata nikiachika nitakuwa nimetoa mkosi!!!!"

Kama Mungu kakujaalia uwezo wa kufanya kazi na kuingiza kipato cha kukuwezesha kujikimu na kuwakimu wanaokutegemea, kwa nini uumize kichwa na kuingia kwenye ndoa za mateso na za kukudhalilisha, ili na wewe uonekane umeolewa?
 Kina Dada, Kwani Kuolewa ni lazima?
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad