AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wasanii kutoka nchini Tanzania ambao wanaongoza kuwa na likes nyingi zaidi ni Fid Q pamoja na Lady Jaydee, ambapo Fid Q ana jumla ya Likes 51,600 na Jide ana jumla ya Likes 42,700.
Taarifa hizi zimetolewa na mtandao wa Hipipo kutoka Uganda ambapo umetoa chati ya wasanii 50 kutoka East Africa ambao wana Likes nyingi zaidi kuliko wasanii wengine.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK