Mazishi ya Advocate Nyaga Mawalla utata mtupu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mpaka sasa mwili wa marehemu Advocate Nyaga Mawalla umehifadhiwa Nairobi Hospital huku vikao vikiendelea marehemu azikiwe wapi. Mvutano uko kati ya will aliyoacha marehemu na baba mzazi wa Nyaga ambaye pia ni wakili wa mstaafu Advocate Juma Mawalla.

Will aliyoacha marehemu ambayo inatunzwa na bi Fatma Karume wa Imma Advocate inasema kama ifuatavyo:

1. Kama nikifa nchini Tanzania basi mwili wangu uzikwe Momella kwenye nyumba yangu
2. Kama nikifa nje ya nchi basi nizikwe in any public cementary

Ila mzee Mawalla sasa yeye anataka will itenguliwe ili mtoto wake akazikwe kijijini Marangu. Mpaka jana vikao vimekuwa vikiendelea baina ya mzee Mawalla na mawakili wengine maarufu kama Advocate Maro na Ngimariyo ambao inasemakana walikuwa groomed na Advocate Juma Mawalla.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad