Prezzo Kupiga Show Dar Es Salaam Hivi Karibuni...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ule wakati uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu kwa rapper kutoka Kenya maarufu kama Amb Prezzo kuja kupiga show ndani ya jiji la Dar Es Salaam sasa umewadia.
Prezzo anatarajia kupiga show moja katika ukumbi disco wa New Maisha Club, Oysterbay jijini Dar.
Katika show hiyo Prezzo atasindikizwa na baadhi ya wasanii kutoka Bongo kama kundi la Shosteez, Stereo, AY, MwanaFA na wengine wengi. Show hii inatarajia kufanyika tarehe 5 April mwaka huu.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad