AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Daaah binadamu,hawajielewi nikisema nisiweke picha za watu fulani mnasema nina roho mbaya nikiweka najigongaa sasa nifanyeje?
hebu nimbieni daaah binaadamu ni viumbe wazito hawabebeki!
Hebu nimbieni nyinyi mnataka nini? maana siwasomi " Sintah.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Tatizo la sintah anapost vitu kwenye blog yake Kishambenga. Yaani Uwezi jua ni msomi kwa kifupi ni mswahili Pasee! Ajaribu kubadilika aone kama hayo yote yatamkuta.
ReplyDeleteNilikua mpenz sana wa blog yake nilivogundua ipo kiswahili, kimbeya,na hakuna vtu vya msingi nikaachana nayo msomi mzma hasomeki
ReplyDeleteTatizo hajielewi kuwa kaishachoka yani kwa ufupi kaishakata ring,muda wake umeshapita akae kwake atulie kama bi kidude.hana jipya
ReplyDeleteAchana nao binadamu watakupa stress.
ReplyDeleteWapo km yy walotamba enzi zake leo kimyaaaa namambo yao.... Na wanaheshimika ss yy anajifanya mtoto kung'ang'ania chati nawatoto wa digital wakati yy analog?? Why asitujanwe? Enzi zake alikua mchafu walikua wanaona ss leo anawezaje kuwakosoa?? Mwache apewe anachokitafuta kwa watoto.
ReplyDelete