Siri ya Kuvunjika Kwa Ndoa ya Staa wa Filamu Bongo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

SIRI ya kuvunjika kwa ndoa ya staa wa filamu Bongo, Yvonny Cherry ‘Monalisa’ imevuja ambapo imeelezwa kuwa tattoo aliyokuwa ameichora mkononi mwake yenye alama ya kopa na mshale ndiyo chanzo.
Akizungumza na Tollywood Newz jijini Dar es Salaam, Monalisa alisema: “Sikuwahi kuwaza hili hata mara moja. Siku moja Kanisani, Mchungaji aliniambia kwamba tattoo yangu ndiyo chanzo cha kunivurugia uhusiano wangu.

“Aliniambia kwamba, alama ya kopa ambayo humaanisha moyo – upendo, halafu mshale kupita katikati yake, humaanisha maumivu na kuteswa katika uhusiano. Lilikuwa jambo jipya kwangu lakini niliamua kufuta haraka sana na sasa nimeweka nyingine ya ua rose.” Source:Globalpublishers
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad