AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii huyo amekuwa akionekana kwenye picha kadhaa chafu ambazo zimekuwa zikimchafulia jina, akiongea na mwandishi wa DarTalk alisema kuwa zimemfanya hadi kutoelewana na familia yake kwani wanahisi ni muhuni kitu ambacho si kweli.
“Familia yangu imechukia sana kutokana na picha zangu ambazo sijui watu wanazipata wapi, naonekana muhuni mbele ya wazazi wangu wakati siko hivyo, kuna watu wana nia ya kunifanya niwe mbaya mbele ya wazazi wangu na watu wanaonizunguka nashindwa kuelewa wananitafutia nini,” alisema.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK