AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimesema kilikuwa na taarifa za mapema juu ya uwepo wa mkakati unaoratibiwa na kufanikishwa na maafisa wa ngazi za juu wa usalama wa taifa wa kukihusisha chama hicho na njama za kumdhuru mwenyekiti wa jukwa la wahariri Absalom Kibanda ili kukidhofisha chama hicho kisiasa.Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimesema kilikuwa na taarifa za mapema juu ya uwepo wa mkakati unaoratibiwa na kufanikishwa na maafisa wa ngazi za juu wa usalama wa taifa wa kukihusisha chama hicho na njama za kumdhuru mwenyekiti wa jukwa la wahariri Absalom Kibanda ili kukidhofisha chama hicho kisiasa.
Video hii Hapa:
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
Hawana jipya hawa tulishawajua. So mfa maji haachi kutapatapa
ReplyDeletehiyo ndo siasa bhana
ReplyDeleteHata wakitumia njama gani michenzo michafu wa kuwapotosha watanzania hiyoo na tuwe makini sana watakuja kutumia sura bandia ili wafanikishe lengo lao la kuwachafua chama cha upinzani historia inaonyesha yenyewe kila jitihada wafanyazo
ReplyDelete