Baada ya Kajala Kutoka Jela Mapenzi yake na Petit Man yawa Live live

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 Mapenzi kati ya hawa wawili sasa yanaonekana live live kupitia BBM na hata kwa washikaji wa Karibu japo mapenzi yalianza hata kabla ya Kajala kwenda jela....Kijana Huyo anajulikana kwa jina la Petit Man ....na ni mmoja wa Wafanyakazi wa Endless Fame Kampuni ya Wema ...Hongera kwao Jamani
Picha hii Akiwa na Boss wake Wema Sepetu .....Nice One
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Kwaiyo mapenz na aliyemwacha jela yamekufa eeeh?? Hakuna uvumilivu duh madem wa cku iz uaminifu zero

    ReplyDelete
  2. sasa na huyu jamaa aliekuwa anasafisha nae pesa chafu?????? je walikuwa wameoana??? kwanza tujue tusilaumu tu,

    ReplyDelete
  3. mmmh hapo kuna k2 coz mchiz mfanyakaz wa wema af yeye ndo alicmamia show yote mpk kajala katoka???

    ReplyDelete
  4. Kuna bendi iliwahi kuimba nafikiri (Mlimani park)Hivi unayosema ni kweli mama X2...niliuza nyumba o lela sababu yako wewe olelaa . Sehemu ya pili: Hakimu aliponihukumu kwa utapeli wangu o mama ulitoa kauli hunitaki tena......

    ReplyDelete

Top Post Ad