AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kazi ya usalama wa Taifa ni ya siri sana na pia kuzipata ni kazikwakuwa hazitangazwi popote.Sasa swali langu ndungu zangu je ni njia ipi ya kuomba hyo kazi? mdogo wangu anapenda sana afanye ila pakuanzia ajui na mimi sina ufahamu wa hii kazi afanyeje ili aweze kufatiliwa na wanausalama kama ataweza kukidhii mambo yao nae apate hiyo kazi....Tujuzane Jamani...
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
Kazi ya usalama wa taifa sio siri ndio maana kuna sheria ya usalama wa taifa "The Tanzania Intelligence And Security Service Act 1996" ambayo hata kwenye intanet inapatikana.
ReplyDeleteInabidi ashikwe mkona na mtu ambaye yupo kuleee,,once nilitaka kupelekwa nikakimbia mim
ReplyDelete