AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wema Amepost picha zikionesha Tattoo Mpya aliyochora Mgogoni ikiwa ni ya Maandishi ya Kichina yenye Maana Potential Kwa lugha ya Kingereza...Katika picha moja Ameandika hivi: It Means Potential......U do da Math.....It means Ametuachia sisi tupige mahesabu kwanini ameweka hiyo Tatuu ya Kichana.....Je anajifunza Kichana Siku hizi au Labda Amepata bwana wa Kichina Or.....Haya U do tha Math Basi Utuambia Why Ameweka hivyo....Share your Comment
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
Haha,kimasonia zaidi!! Poa bhana,u do da math,its all abt uchawi wa namba'!
ReplyDeletehizo tatoo wanazojichoraga cjui zinaraha gan..like wayne ule mwili ushakua gazet
ReplyDeleteï¼·ema wewe ni mtoto wa kiislam uhadaike na mambo ya mpito kwani duniani ni sehemu ya kupita huko tunapokwenda ndipo kugumu sana.nakusi sana rudi kwa mungu wako wema.
ReplyDeleteï¼·ema wewe ni mtoto wa kiislam uhadaike na mambo ya mpito kwani duniani ni sehemu ya kupita huko tunapokwenda ndipo kugumu sana.nakusi sana rudi kwa mungu wako wema.
ReplyDeleteï¼·ema wewe ni mtoto wa kiislam uhadaike na mambo ya mpito kwani duniani ni sehemu ya kupita huko tunapokwenda ndipo kugumu sana.nakusi sana rudi kwa mungu wako wema.
ReplyDeletehayo ni mahangaiko tu ya dunia.kwanin uctafte mume ukaolewa ukatulia.lol
ReplyDeleteBULLSHIT.....sasa atatembea mgongo wazi ili muwezeze kufanya mahesabu yake vizuri.we mzuri lakini daaaah mdogo wangu punguza mapepe,
ReplyDeleteMambo yote tunaiga. hakuna lolote. Either awe muslim / christian ama mpagany huu ni uchafu tuu juu ya ngozi ya mwili wako.Huondoa udhu katika moyo wako.
ReplyDeleteNa msilolujua ni sawa na usiku wa kiza....ni hayo tuu