Jini Kabula Atoa ya Moyoni Kuhusu Story ya Jack Chuzi Kuolewa na Mme wa Mtu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 Leo usiku Jini Kabula ama Mariam Jolwa Amerusha Ujembe BBM kwa marafiki zake wote Ukisema hivi:

"Ivi nyie au wewe unae kaa na kuanza kutangaza eti Jini kabula ndo yuko karibu sana na Jack Chuz unauwakika.. siusiki afu mie siyo mzazi wa jack habari za kisenge kusema me ndo chanzo cha yeye kuolewa na Dibibi mnikome.. me siyo kuadi afu kaeni mkijua yule ni jack me ni Miriam vitu viwili tofauti...niko na Jack kikazi maisha yake hayanihusu...na uyo Dem alo zaa na Dibibi anashangaa jack kuolewa na mzazi mwenzie me sishangai kwa kuwa uyo uyo jack aliwahi kunipindua kwa baba mtoto wang Chuz...Uwenda anaugonjwa na mashemeji zake so lawama za kisenge sitaki..samahani kwa bc nimekereka" Jini Kabula /Miriam Jolwa
Source:BBM yangu
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad