Kesi ya Lissu na Wenzake, Makinda Ahalalisha Maamuzi ya Ndugai, Aingiza Kipengele Kwenye Kanuni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Spika wa Bunge ana Makinda amehalalisha maamuzi ya Ndugai ya Kuwasimamisha Lissu na wenzake wakae nje ya Bunge kwa siku 5.

Katika hukumu hiyo, Spika amesema japokuwa hakuna kifungu kilichovunjwa lakini kuna kifungu kinachosema kama hakuna kifungu cha kanuni kiti cha spika kinaweza kufanya uamuzi na uamuzi huo ukaingizwa katika kanuni na kuanza kutekelezwa kuanzia siku hiyo.

Hivyo, adhabu ya kukaa nje kwa siku 5 ni halali na itatumika kuanzia sasa kwa wabugne wengine watakaofanya vitendo vitakavyofanana hivyo mbele ya safari.

My take,
Kwa staili hii, 2015 ni mbali sana.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. huyo bi kiroboto ana hakili za kushikiwa

    ReplyDelete

Top Post Ad