AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiuliza swali la nyongeza, Mh. Ali Keisy Mohamed (CCM) amesema tumbaku ina madhara mengi lakini serikali bado inalitambua kama zao la biashara, ameuliza kwanini serikali sasa isipeleke nguvu kwenye bangi kwani kuna sehemu inaruhusiwa
- Naibu Waziri wa kilimo Adam Malima alisema serikali itaangalia uwezekano wa kuihalalisha bangi ili iweze kuliongezea taifa kipato kama ilivyo kwa sigara ingawa ina madhara kiafya
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
mimi siungi hoja mkono
ReplyDeleteDahh kweliii sirikali si mchezo BBAAAANGIIIIIIII DUHHHHHH
ReplyDelete**Chezea Serikali ya JK wee**
ReplyDeleteDah! itakuwa safi bangi ikehalalishwa!
ReplyDeleteDah! itakuwa safi bangi ikehalalishwa!
ReplyDelete