Kutoka Bungeni: Mbunge aomba Bangi iruhusiwe kulimwa!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Akiuliza swali la nyongeza, Mh. Ali Keisy Mohamed (CCM) amesema tumbaku ina madhara mengi lakini serikali bado inalitambua kama zao la biashara, ameuliza kwanini serikali sasa isipeleke nguvu kwenye bangi kwani kuna sehemu inaruhusiwa
- Naibu Waziri wa kilimo Adam Malima alisema serikali itaangalia uwezekano wa kuihalalisha bangi ili iweze kuliongezea taifa kipato kama ilivyo kwa sigara ingawa ina madhara kiafya
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

5 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. mimi siungi hoja mkono

    ReplyDelete
  2. Dahh kweliii sirikali si mchezo BBAAAANGIIIIIIII DUHHHHHH

    ReplyDelete
  3. **Chezea Serikali ya JK wee**

    ReplyDelete
  4. Dah! itakuwa safi bangi ikehalalishwa!

    ReplyDelete
  5. Dah! itakuwa safi bangi ikehalalishwa!

    ReplyDelete

Top Post Ad