AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika wimbo huo Nature anachana, “Halafu watu wengine sijui wanakuwaga ni mapimbi, eti msanii kaingia studio na ndala na amevaa pensi hakujua anayosema kwenye Facebook na Twitter sijui kisa hela alizopewa na mameneja feki wasiopenda wa Uswazi, mzomeeni huyo, sasa kazi kwake na raia wake.”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mchane live ucogope hao wala rushwa wamezdi
ReplyDeleteSafiiiii sn boya yule angekua kavaa mzungu angejichekesha kama shoga
ReplyDeleteUmefanya vema Kiroboto maboya km Misago wachwambwe wasiachwe na mavi.. Kanda2 ndio maisha halisi ya kiswahi so cha ajabu kipi? Au yeye anajione amekulia kota na ni mtoto wa kisure? Wakati pamba zenyewe mpaka Sharobaro ampe msaada.. Unabisha Misago Sharobaro hakugawiyagi nguo? Amka dogo acha michoro ya kishamba
ReplyDeleteNature kabugi, acheni kutetea ujinga, ingekuwa nature yale ndo maisha yake halisi asingefukuzwa, nambienu, nature akienda kwenye matamasha ya mziki huwa anavaa vile? alishawah kuvaa vile alivyokuwa akialikwa kipindi hajawa na umaarufu mkubwa? au kisa kawa maarufu anajua chochote anaweza fanya? amini usiamini, mrisho mpoto angeitwa na akaingia peku na kabukta asingefukuzwa coz ndivyo anavyojiwakilisha hata kwenye mziki wake. pale nature alitakiwa ajue ameitwa kikazi, so atokee kikazi.( kisanii)
ReplyDeleteNmependa kaka watu wanatetea ujinga
Deletekweli kuna maboyaaaa nature safi sana amakweli wewe nikioo cha jamii umewakilisha vyema uhalisia wa maisha huku kwetu
ReplyDeleteyule misago mjinga nature alijiwakilisha yy mbona kwenye shooting nature kavaa singland na pensi km mrisho mpoto xaxa utata uko wap angekuwa mzungu kangeanza kujitongozesha f***ck misago ur suck
ReplyDeleteGuys tusishabikie ujinga tatzo halikua kandambili tuu mi niliangalia show nature alikua kalewa mbaya na alikua anaongea maneno hata yasiyoeleweka pia,alikua kavaa vest nyeupe nyepese maalumu kwa kuvalia ndani ya nguo?!
ReplyDeleteNa pia Sam hakumtoa yeye kama yeye kuna sheria za radio na pia kuna muandaaji wa kipindi.
Good job Sam wasifanye sehem ya kazi ya mtu kama choo.
Big up Sam nimekupenda
ReplyDeleteSam big up nature hoi
ReplyDelete