Ni Nini Hasa Kinasababisha Biashara ya Umalaya Izidi Kukua Kwa Kasi Mno Tanzania?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wadau, Gazeti Moja hapa Tz limetoa story kuhusu biashara ya umalaya mjini Dar es Salaam. Lakini umalaya ni tatizo nchi nzima. Mchana na mnajua lunch ndefu (saa 6-saa 8) gesti zote zimejaa! Bukoba gesti zote wanaweka maplastiki kwenye godoro shauri ya katerero. UKIMWI/AIDS na magonjwa mengine yanazidi kuwa tatizo sugu kwa nchi yetu. Lakini hii tatizo la umalaya haikuanza leo, upo miaka mingi sana. Sijui joto ndo inafanya watu wawe na ny*ge sana. Doh!

Mbaya zaidi ni ukweli kwamba wanaume wengi ukiongea nao kuhusu hii biashara huwa wanaikandia sana na kusema ni tabia mbaya lakini karibu ya hao wote huwa wanaitumia hii huduma (ya madada poa) several times a month. Tatizo hasa ni nini? Kwa nini madada poa wanaongezeka na wanunuzi wa huduma yao wanaongezeka Tanzania?
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

6 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. tatizo wa2 hawamuogop muumba wao..hawajui wanayotenda ni chukizo kubwa mbele ya Mungu ndo maana wanajifanyia..achilia mbali na kusema maisha magumu ndo wanaamua kufanya hivyo kupata pesa yakujikimu na life la kila cku

    ReplyDelete
  2. sometimes unaandikaga v2 vya maana kidogo japokuwa nahisi umecopy sehem..lol

    ReplyDelete
  3. kiukweli me ni nlikuaga mdau sana sababu kubwa ni kwamba kwa kua ni dem mpya unakua na ashiki zaidi kwani nakumbuka nlikua natumia kondom lakin unakua na uwezo wa kwenda na wanawake wanne mpka sita kwa siku
    ila nimeaacha baada ya kujua ni dhambi na simtendei muumba vyema sitaki tenaaaaaaa!

    ReplyDelete
  4. Malaya ni poa kwa sababu watu hawana haja ya kujicommit kwa dem huku wanakupasua kichwa daily na gharama kibao, na risk ya kupata magonjwa ni kubwa vile itafika mahali mtaacha condom.
    Sasa dada poa ni safe coz gharama ni minimum, condom lazima na hakuna kufatana fatana oooh cm mbovu, rent nk.
    Laiti madem wangetulia hata ukumnnunulia gari ila unajua ni wangu haisumbui bt hii ya tupo wangapi daaah bora malaya bana.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Inaonesha umezoea kuwa na uhusiano na wanawake wanao kupenda kwasababu ya hela ndio maana unaongea hivyo, not every girl will want u 2 take care of her financially, ila kwavile unaona malaya ndio poa, we endelea tu, ila cku ukija kuamka, lets hope it won't be too late 4 u

      Delete
  5. uyo mshenzi hapa juu na comment yake anasapoti umalaya..fikiria kuna maisha mengine baada ya haya..

    ReplyDelete

Top Post Ad