Nifanyaje nini Niweze Acha Tabia ya Kupenda Majimama?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mimi ni kijana wa Miaka 21 , Na umri wangu huu mdogo lakini nimesha experience vitu vingi katika mapenzi...mwanamke wangu wa kwanza alikuwa na miaka 41 mimi nikiwa namiaka 19, toka kipindi hicho mimi nimekuwa nikipenda wanawake wazima wenye umri mkubwa...na cha ajabu kila nikiwatongoza wanakubali wengi wao ni wake za watu ...Sasa imenikaa akilini nikimpata msichana mdogo siridhiki kabisa na mwishowe namuacha natafuta Mwanamke aliye nizidi umri...Tatizo wengi wao wameolewa sasa tunafurahishana tu alafu wanawahi kwa wanaume wao..Naombeni ushauri..Je nifanyenje hizi feelings za kupenda majimama ziiishe?
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

20 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. hapo hapo mpago mzima

    ReplyDelete
  2. mm nawataka kama wapo waje tu kwangu

    ReplyDelete
  3. tafuta mwenye miaka 60 uowe yata kwisha bro

    ReplyDelete
  4. .............?

    ReplyDelete
  5. Endelea hayohayo ndo matamu!

    ReplyDelete
  6. Endelea mpaka ufumaniwe ndio utaacha hiyo tabia

    ReplyDelete
  7. yote hiyo husababshwa nakutokuwa na pesa..kupewa pesa na hao wamama ndo inakufanya uendelee nao

    ReplyDelete
  8. penda sana ila angalia wake za watu wenyewe watakuf.........................a

    ReplyDelete
  9. una lolote unataka kuongwa 2, na majimama

    ReplyDelete
  10. jamani mwenzenu kaomba ushauri alafu mnampa mapango sio fresh hebu mshaurini afanyeje ili aweze kuepuka na mambo kama hayo?, mimi kwa upande wangu naona ni bora usali kwa kukusudia hilo linalokusumbua naamini litakwisha na umuombe Mwenyezi Mungu mke mwema na atakuja. Huwezi tena kupenda majimama utakapokuwa na hofu ya Mungu.

    ReplyDelete
  11. nami naungana na na mchangiaji wa hapa juu ni muombe Mungu sana akuwezeshe uweze kuacha hiyo tabia ya kutembea na wake zawatu wake za watu nisumu mbali na umri na wew ni mdogo madhara makubwa ninayoona hapa ni kunasiku utafumaniwa na wake za watu itakuwa balaa kubwa kwako kijana wacha mara moja hii tabia sio nzuri kwako utapotea kijana wasichana zaizi yako wako wengi tafuta mmoja umooe kabisa kama unataka mwenye mwili mkubwa pia utapata usicheze na maisha ujana maji ya moto yakipoa utajuta kama ukuchukulia vizuri

    ReplyDelete
  12. me nafikiri unajiendekeza,na kikubwa unaogopa gharama kwa watoto wenzio coz mijimama inakupa ww, ukifikiria miaka 19 ulipoanza mapenz hela ulikuwa umatoa wapi?Utakufa na kg 2,jiangalie

    ReplyDelete
  13. me nafikiri unajiendekeza,na kikubwa unaogopa gharama kwa watoto wenzio coz mijimama inakupa ww, ukifikiria miaka 19 ulipoanza mapenz hela ulikuwa umatoa wapi?Utakufa na kg 2,jiangalie

    ReplyDelete
  14. me nafikiri unajiendekeza,na kikubwa unaogopa gharama kwa watoto wenzio coz mijimama inakupa ww, ukifikiria miaka 19 ulipoanza mapenz hela ulikuwa unatoa wapi?Utakufa na kg 2,jiangalie

    ReplyDelete
  15. daah hako katabia hata mm ninako kwa mbaaali!

    ReplyDelete
  16. pumbaavuuuuu..!!!ytkgkuhojkyjerytoih;4pyorlyvbhi

    ReplyDelete
  17. Itabidi utoe nyuma maana utoe mkundu ufirwe.ndipo hayo mawazo yataondoka.

    ReplyDelete
  18. Itabidi utoe nyuma maana utoe mkundu ufirwe.ndipo hayo mawazo yataondoka.

    ReplyDelete
  19. mmmmh...mi napita tu!

    ReplyDelete

Top Post Ad