AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muigizaji Lulu, mama yake, na mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba walikua miongoni mwa watu walioshiriki katika misa ya kumbukumbu ya mwaka mmoja tangu marehemu Kanumba afariki dunia, na kutembelea kaburi la msanii huyo Kinondoni, Dar. Lulu, ambaye ana kesi ya kuhusika na kifo cha msanii huyo, yuko nje kwa dhamana. Zifuatazo ni baadhi ya picha za tukio hilo
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
wamezugazuga gerezan ili hacri zipungue kwa maxhabik wa kanumba..czani tena ka kuna kesa kwa lulu..ndo ixhakata ivyo
ReplyDeleteKhaa hv kwa akili ya kawaida kabisa unaweza kusema Lulu alimuua kanumba kweli? Mamake Kanumba kedhajua ukweli ndo mana hana noma na Lulu ila majaji watakomalia hio kesi ili wapate posho tu wanajua fika hakuna kesi. Ni common sense tu.
ReplyDelete