Wote Wanaoipinga Redio ya watu Clouds Fm wana Chuki Binafsi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kwa mda mrefu sasa nimekuwa nikifuatilia mijadala mbalimbali zinazohusu radio ya watu claus.watu weng mmekuwa vinara wa kuiponda pamoja na watangazaji wake.nilichogundua hakuna hoja ya maana mnayotoa juu ya redio hii pendwa. Mimi nashauri tuache unafiki na kuwa watu wanaokubali mafanikio ya wengne. Ktk kipindi cha miaka kumi mfululizo redio hii pendwa imejizolea mashabiki ndani na nje ya nchi. Mafanikio yao yametokana na kujua mahitaji ya wasikilizaji. Kwa kifupi ni wabunifu sana katika vipindi vyao. Haishangazi hadi kupata hadh ya super brand radio station. Na hii ndiyo sababu inayofanya iwe na mapato makubwa kupitia mikataba ya matangazo kuliko hata east africa radio. Vipindi vya kijanja kama xxl,leo tena,jahazi,bongo fleva vina mashabiki wengi kuliko vya redio pinzani(ea radio) kama power jam,ea breakfast,planet bongo.ina watangazaji wabunifu kama b12,adam mchomvu,fetty ambao wamekuwa kipenzi cha vijana wengi ambao ndio wasikilizaji wakubwa. Pia ni waandaaji wa tamasha kubwa la fiesta ambalo linahesabiwa kuwa tamasha kubwa zaidi east africa.
MAONI YANGU.
Tumsifie anayefanya Vema na Si kumponda..Wengi wetu tunaoikosoa ndo wasikilizaj wazuri wa radio hii pendwa.sijatumwa na kibaraka yoyote haya ni mawazo yangu chanya najua mtaniponda kwa mawazo yenu mgando
VIVA CLOUDS FM...the pipoz station.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

14 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. ujui uongealo..chunguza ndo uropoke

    ReplyDelete
  2. umelipwa sh ngapi??njaa itakumaliza

    ReplyDelete
  3. chunguza kwa makin ndo uxeme

    ReplyDelete
  4. kwanza vpndi vyao vngi ni vya kuponda na kuchochea bifu kwa madai zinakuza mziki...

    ReplyDelete
  5. huyo choko mwenzao

    ReplyDelete
  6. Watu wanaaamka wanajua wasemacho si kama ww utakua umelala. Amka angalia maudhui ya clouds aina ya watangazaji na zaidi aina ya wasikilizaji wao. Then come bak n pove. Lasivyo kakojoe ukalale

    ReplyDelete
  7. Wewe msenge kweli hujui ni kiasi gani hii redio inaharibu vijana wa kesho. Unawaza kwa kutumia matako ndio maana hujui ni kiasi gani vipindi na watangazaji wake hawafuati maadili.

    ReplyDelete
  8. Radio ya watu ilikuwa kpnd cha nyuma kwakuwa watu hawakuisoma vzur ni kama ccm,sas watu wamekua kiakili hauwadangany ktu kabisa,sas sio radio ya watu tena itabaki ya kwao wao! Bora usikilize kelele za nzi siku nzima kuliko kufungulia radio inayojiita ya watu.wachochezi,walopokaji tu.ivo vpnd unavovisifia wanapga soga tu kuongelea story za leo wanaleta umbea kazini,hawana lolote

    ReplyDelete
  9. Wanakupumulia wewe c Bure!! jiulize kwanza kwanini kila siku wao tu!? kwani hakuna Redio Nyengine!? n' then ndio uongee! hata hivyo vipindi vyao Vingi wanawaiga EAT/EAR kama hujui Mburula!! nakupa mfano: EAT/REDIO walikuwa na kipindi kinaitwa BOngo Movie,(cha Joyce Kiria) {kama unafuatilia} hao mazuzu wakacopy wakapaste wakakiita cha kwao TAKE ONE!! EAT/REDIO, wana FNL na mamburula a.k.a vilaza wakacopy wakapaste, wakaita WEEKEND CHART SHOW, halafu ndio hooooovyo, Upo!? eat/Redio wanakipindi chao cha SKONGA, eti na vilaza wale nao wakacopy chao wakakiita STUDENT CORNER, halafu mlivyokuwa mazuzu na kujua kama mmekopy, mnasema samahaaani lakini!! kwakujua mmetafuniwa mkameza!! sasa wewe mshikwa migozi ya Tumbo unasema wabunifu, hebu niambie huo ubunifu wameutoa waapi!? au ubunifu wa Kucopy!?

    ReplyDelete
  10. Wanakupumulia wewe c Bure!! jiulize kwanza kwanini kila siku wao tu!? kwani hakuna Redio Nyengine!? n' then ndio uongee! hata hivyo vipindi vyao Vingi wanawaiga EAT/EAR kama hujui Mburula!! nakupa mfano: EAT/REDIO walikuwa na kipindi kinaitwa BOngo Movie,(cha Joyce Kiria) {kama unafuatilia} hao mazuzu wakacopy wakapaste wakakiita cha kwao TAKE ONE!! EAT/REDIO, wana FNL na mamburula a.k.a vilaza wakacopy wakapaste, wakaita WEEKEND CHART SHOW, halafu ndio hooooovyo, Upo!? eat/Redio wanakipindi chao cha SKONGA, eti na vilaza wale nao wakacopy chao wakakiita STUDENT CORNER, halafu mlivyokuwa mazuzu na kujua kama mmekopy, mnasema samahaaani lakini!! kwakujua mmetafuniwa mkameza!! sasa wewe mshikwa migozi ya Tumbo unasema wabunifu, hebu niambie huo ubunifu wameutoa waapi!? au ubunifu wa Kucopy!?

    ReplyDelete
  11. we msenge kweli kipindi cha supa mix ni kizuri kuliko vipindi vyote kwenye redio ya wafu kisikilize ndo uongee

    ReplyDelete
  12. mafala 2 ao awana lolote, redio ya mashoga hyo.

    ReplyDelete
  13. kuma la mama yake anayeisifia clouds fm

    ReplyDelete

Top Post Ad