AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
According to sources, Nice who is currently planning to shoot a video for his latest track Chali wa Kibera has been seen club hopping with a number of Kenyan women.
He is painting tables red in hang out joints for his women who seem to have a soft spot for him. A fan who is worried alleges that he may just drift away again to poverty if he continues with his behavior.
Source:The Kenyan Daily Post
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mr Nice ni mwanamuziki mzuri sana lakini ajabu ni kuwa akili yake siyo nzuri kabisa. Ingawa Mr Nice ana muziki wa nguvu sana kuliko Diamond, ni wazi kuwa Diamond anamfunika sana hasa ukiangalia kuwa dogo anawatanua warembo wazito sana hapo Dar kuliko Mr Nice aliyepoteza mapesa yake kwa warembo wa kubabaisha tu; halafu bado ana akili nzuri sana ya kununua na kujenga majumba ya kifahari kuliko Mr Nice aliyefukarika hata kushindwa kulipia kodi ya pango. Kwa nini Mr Nice asijifunze kwa Diamond ambaye ana background sawa na ya kwake ya kuelelewa na mama tu?
ReplyDeleteIngawa watoto wengi wanaolelewa na mama zao hutokea sana kuwa malaya wakipata umaarufu, bado kuna wengine wao huwa hawalemszwi na umalays huo; nadhani Diamond ni mfano mmojawapo.
Mr.nice hana akili
ReplyDelete