AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akipiga stori na Ijumaa hivi karibuni Diva alisema uhusiano wake na jamaa huyo hakuna wa kuutibua na anamshangaa msichana anayejitambulisha kwa jina la Boss lady anayedai ameingiliwa.
“Mimi namshangaa huyu dada anayeniandama kwenye mtandao toka aliposikia nipo na Prezzo, kwa kifupi kwa Prezzo nimefika na ndoa muda si mrefu utapita ili tuweze kuishi kama mke na mume” alisema Diva.
Diva alisema kuonyesha kuwa anakubalika hata kwenye familia ya Prezzo, aliongea na dada wa msanii huyo ambaye alimtuliza kwa kumwambia kuwa asisikilize maneno ya watu kwani yeye ndiye wifi yake wa ukweli.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
teh teh jaman namwombea hyo ndoa ipite la sivyo atakunya mnara wa askari
ReplyDeletewenzako walisema ivo ivo....wakaishia ooh sijui ooh!!!
ReplyDelete