AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mnamo saa Tisa na nusu alasiri wakati ikijiandaa kupaa ikiwa katika spidi kali ktk uwanja wa JNIA ilifunga breki ghafla na kurudi sehemu ya maegesho.Iliserereka kidogo. Abiria waliambiwa kuna tatizo la kiufundi hivyo walivushwa kwenye ndege nyingine ya kampuni hiyo na kusafiri kwa kuchelewa. Ndege hiyo ilitua Mwanza salama mnamo saa kumi na mbili kasoro ingawa abiria wengi sana walikumbwa na taharuki kubwa na wakiwa na wasiwasi sana wakati wote wa safari.
My Take;
1) Hii ndege haikuchekiwa kabla ya kuanza safari?? Je ingeruka ndo tatizo ligundulike si ingekuwa balaa kubwa?
2) Hizi ndege mpya zinazoingia nchini zinakuwa monitored na vyombo vinavyohusika kweli?
3) Chonde chonde Mwakyembe!
Source; Mimi mwenyewe nilikuwemo
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK