AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa kutoka ndani ya TFF zimeeleza, Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) limeandika barua ambayo imeshatua Fifa tayari kuwarejesha Malinzi, Wambura na wengine waliokuwa wanagombea.
Uongozi wa TFF unatarajia kuzungumza muda mfupi ujao kuanzia sasa katika ofisi zake katika eneo la Ilala jijini Dar es Salaam.
Tayari Salehjembe ametega masikio kuhusiana na kitakachotokea na atatutaarifu kama ni hiki kutoka ndani au kutakuwa na mabadiliko.
Salehjembe
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK