Hakimu wa kesi ya Lwakatare yupo likizo, dhamana imeshindikana kutolewa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hakimu anayesikiliza Kesi ya Lwakatare katika mahakama ya Kisutu Mh. Katemana yupo likizo kwa wiki mbili.

Hivyo basi mahakama imeshindwa kutoa dhamana kwa Lwakatare na kupiga kalenda kesi hiyo mpaka Tarehe 27 mwezi huu.

Lakini mawakili wa Lwakatare wanafanya juu chini ili waweze kupata dhamana hiyo japo juhudi zinaonekana kugonga mwamba.

MY TAKE:
Mfanyie mwenzako yale yote ambayo ungependa kufanyiwa na watu wengine. "WHAT GOES AROUND COMES AROUND".
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad