AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aisee nakumbuka enzi niko secondary na chuo nilikuwa natamani sana
kutongoza. Lakini cha ajabu ilikuwa nashindwa kuanza, na nilipojitutumua
basi tena hadi jasho linakuwa linanitoka (kwa hofu). Lakini nilikuwa
nashangaa kuna jamaa zangu wao ilikuwa easy kweli yani mkikutana na
demu, akitoa tu salamu tayari inakuwa na mwelekeo wa kutongoza na
akitaka kumtongoza basi inakuwa kirahisiiiiiiii. Ila mi ilikuwa ngumu
aisee...
Ila kwa sasa nashukuru nimegundua mbinu... siumizi kichwa... ni pasi
moja ndefu hadi golini... Yaani nikimtaka demu ni kumsalimia kisha
naenda moja kwa moja to the point ...aisee Mshiki nimekufeel sana
natamani unipe hapo hiyo kitu yako, Unasemaje... Then from there inabaki
tu kusisitiza maana nimeshatamka shida yangu.
Ila mi naona kutongoza ni kipaji aisee...
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
Iyo kusema kweli ni aibu utupu kabisa
ReplyDelete