Hivi Kutongoza ni Kipaji?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Aisee nakumbuka enzi niko secondary na chuo nilikuwa natamani sana kutongoza. Lakini cha ajabu ilikuwa nashindwa kuanza, na nilipojitutumua basi tena hadi jasho linakuwa linanitoka (kwa hofu). Lakini nilikuwa nashangaa kuna jamaa zangu wao ilikuwa easy kweli yani mkikutana na demu, akitoa tu salamu tayari inakuwa na mwelekeo wa kutongoza na akitaka kumtongoza basi inakuwa kirahisiiiiiiii. Ila mi ilikuwa ngumu aisee...

Ila kwa sasa nashukuru nimegundua mbinu... siumizi kichwa... ni pasi moja ndefu hadi golini... Yaani nikimtaka demu ni kumsalimia kisha naenda moja kwa moja to the point ...aisee Mshiki nimekufeel sana natamani unipe hapo hiyo kitu yako, Unasemaje... Then from there inabaki tu kusisitiza maana nimeshatamka shida yangu.

Ila mi naona kutongoza ni kipaji aisee...
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad