AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katibu Mkuu wa CCM,Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana amesema anaamini
kuwa chanzo cha kuchafuliwa kwake na wapinzani ni wadhifa wake. ' Hivi
vitu havinisumbui.Hapa tatizo ni kuwa Katibu Mkuu wa CCM. Mimi ni Afisa
Mwandamizi sasa katika chama change.Ningekuwa nimekaa nyumbani nafanya
biashara zangu yasingetokea haya' alisema Kinana.
Waungwana mnasemaje? Amejibu?
Chanzo: Mwananchi la leo na mimi mwenyewe niliyekuwepo Dodoma jana alipozungumza na waandishi wa habari
VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam (sasa Dodoma)
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK