AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MWANAMUZIKI Mahiri wa Bongo Fleva , Judith Wambura 'Lady Jaydee ' leo alifika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam
kufuatia kufunguliwa kesi ya madai katika mahakama hiyo.
Katika hati ya madai hayo, mwanamuziki huyo anashitakiwa na viongozi wa Clouds Media Group ambao ni Ruge Mutahaba na Joseph Kusaga . Tuhuma za kesi hiyo zinatarajiwa kusomwa mahakamani hapo na Hakimu , Athuman Nyamrani Mei 27 mwaka huu.
Jaydee aliwasili mahakamani hapo akiwa na mumewe Gadner G. Habash mishale ya saa 6 mchana na kuongoza moja kwa moja chumba cha makarani wa mahakama hiyo ambao aliwakabidhi hati ya mashitaka hayo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
komandoo la ukweli hilo!!
ReplyDeleteTuko pamoja don't worry
ReplyDeletehekima na busara vinahitajika sana katika maisha ya mwanadamu,,,wat i see huko ni kukosa hekima kwa wao wote''''''wanapoteza tyme......
ReplyDeleteMalaika wakulinde pande zote.
ReplyDeleteTuko pamoja
ReplyDelete