Mwingira wa EFATHA Awaita Viongozi wa Serikali ni Washenzi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Leo Wakati Mwingira anatoa mahubiri yake
 kanisani. Anadai ameonyeshwa serikali wamemtuma mtu aje hapa kanisani ku spy ndipo alipoanza wewe uliyetumwa ni mshenzi na mambo yako ni yakishenzi sababu waliokutuma ni washenzi, Swali nalojiuliza Kwanini Mwingira Anakuwa na Hofu na watu wa serekali..Je kuna kitu anakificha? Wacha serekali ifanye kazi yake na si kuwatukana
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad