AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ameongeza kuwa endapo wasanii na watayarishaji wa muziki wakiungana hakuna kitakachowazua isipokuwa Mungu.
Hizi ni Tweet za P-Funk Majani za May 4:
@JideJaydee I think its really high time others follow in ur Footsteps!! Count Me in!
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Good move from the legend..
ReplyDeleteLeo nafurahi kuona kama watu wanafunguka na kuanza kuona unyonyaji wa jasho la mwanahalisi nina maana ya Mtanzania mwenye mlo mmoja kwa siku, mwanzoni kuna baadhi ya watu walimuona Kamanda Incharge Mr.Sugu the "Don" akipambana na hawa Clauds kama vile mnafiki na mwenye wivu sasa nashukuru kwa manguli wengine kuomnyesha support kwa wanaharakati wengine wanopigani jasho la wanyonge lisiliwe bure na akina Ruge & Company, KITAELEWEKA TU SIKU MOJA. Amen.
ReplyDeletejamani wasanii muamke sasa, kwa kuwa mmenyonywa vya kutosha. Kwa asilimia zote namuunga mkono Jide kwa kuonesha mwanzo mzuri. Keep it up komando machozi. Pamoja sana.
ReplyDeletejide jana kafunguka vitu vya maana sana.....kiukweli anauma sana kuona chanzo fulani kinatumia nguvu zake kunyonya wasanii huku kikijifanya ku suport kaz za wasanii..nnouma kweli.
ReplyDeletekumbuka uliko toka jide bila hao usingekua hapo ulipo
ReplyDelete