google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Obama ‘Afunga’ Hoteli Katikati ya Jiji Dar es Salaam | UDAKU SPECIAL

Obama ‘Afunga’ Hoteli Katikati ya Jiji Dar es Salaam

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wakati Rais wa Marekani, Barrack Obama akitarajiwa kuwasili na msafara wa watu 700, baadhi ya hoteli zenye hadhi ya nyota tano jijini Dar es Salaam zimeanza kusitisha kupokea wageni kutokana na ujio huo.
Taarifa iliyotolewa na Ubalozi wa Marekani ilisema Rais huyo, anatarajiwa kuwasili nchini Julai Mosi kwa ajili ya ziara ya siku tatu hadi Julai 3 mwaka huu ili kuimarisha uhusiano baina ya nchi hiyo pamoja na nchi za Afrika. Msafara huo utajumuisha watu mbalimbali wakiwamo wafanyabiashara.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

6 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Welcome in Tanzania and help our country to grow up economically as your president of the whole world.

    ReplyDelete
  2. Hamna lolote bali ukoloni hapoo huyu kichwa cha nazi zabagamoyoanatuletea mambo ya chief mangungu

    ReplyDelete
  3. Is it Julai or June be specific plz

    ReplyDelete
  4. Wadau kuweni "wise" obama hana lolote la kuisaidia Africa bali wanataka kuiba rasilimali zetu tu. Tangu gesi igunduliwe nchini tumekuwa tukipokea wageni mbalimbali kama Xin ping na washirika wengine watajileta tu. Tusubiri tuone jinsi tunavyouzwa bila kujitambua

    ReplyDelete
  5. karibu sana ila watanzania kuweni makini

    ReplyDelete

Top Post Ad