AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
One amesema anamchukulia Lady Jaydee kama dada ambaye amelea wasanii wengi kwenye muziki wa Tanzania.
“Sisi tupo karibu naye sababu ni sister, anatupaga mawaidha mawili matatu. Watu wamesahau kwamba mimi video ya black on black tulifanyiaga Nyumbani Lounge muda mrefu mbona. Au watu wengi hawajui kwamba Jide alianzaga kuchana kabla hajaanza kuimba, watu wengi wameanza kumfuatilia Jide wakati anaimba hawajui kwamba Jide alikuwaga mchanaji vile vile. Ni support tu, it’s just love sababu tunaweza tukalink na watu tofauti na wanaonesha na nini…. na sisi ni new artists so it’s very good, ni support nzuri,” ameiambia Bongo5.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK