AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Roomy Jones Ambae ni Binamu wa Diamond na pia ni Mtangazaji wa Clouds ilisemekana ndio atake iwakilisha Tanzania katika Shindano la Mwaka huu la Big Brother na kuandikwa sana na vyombo vya habari hasa blogs ..Including me ....Jana aliongea akasema yeye hana taarifa zozote kuhusu kuhusika kwake katika Shindano hilo japo alishiriki katika Mchakato wa kumtafuta mshiriki toka TZ ....Imebaki week moja shindano lianze so Its obvious Sio yeye Atakaye Iwakilisha Tanzania Kama mpaka sasa Hajapigiwa Simu na Multi Choice...So guys lets Wait for 26 of May shindano litakapoanza kumjua Mwakilishi wa TZ....
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK