AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jana kupitia mtandao wa instagram, msanii Suma Lee ambae siku ya juma nne wiki iliyopita alitambulisha ngoma yake mpya "Wanasema" ilitengenewa na producer Lamar, alipost picha inayoonyesha mazungumzo yake na mtu mwingine {sifahamu ni nani} ambapo alikua akiambiwa na kutumiwa beat ya wimbo unaofanana na wimbo wake huo mpya.
nadhani baada ya kusikiliza beat hiyo ndipo alipoamua kuweka wazi mazungumzo hayo pamoja na kicha cha habari alichokiandika hivi
"khaaaaa!!!!! hehehe.LAMAR nini hii!!!!! maana unamtia aibu SUMA LEE. Achekwe na ISMAIL MSWAHILI aaaaagh!!!! maza!! faza!!!
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK