Suma lee Amshukia Lamar Baada ya Kugundua Beat ya Ngoma yake Mpya Inafanana na Beat Kutoka South Africa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 Jana kupitia mtandao wa instagram, msanii Suma Lee ambae siku ya juma nne wiki iliyopita alitambulisha ngoma yake mpya "Wanasema" ilitengenewa na producer Lamar, alipost picha inayoonyesha mazungumzo yake na mtu mwingine {sifahamu ni nani} ambapo alikua akiambiwa na kutumiwa beat ya wimbo unaofanana na wimbo wake huo mpya.
nadhani baada ya kusikiliza beat hiyo ndipo alipoamua kuweka wazi mazungumzo hayo pamoja na kicha cha habari alichokiandika hivi
"khaaaaa!!!!! hehehe.LAMAR nini hii!!!!! maana unamtia aibu SUMA LEE. Achekwe na ISMAIL MSWAHILI aaaaagh!!!! maza!! faza!!!
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad