Tano Bora ya wabunge wazalendo kwa taifa letu!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Habarini wana jf, kwa hali ya mambo inayoendelea katika bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania, ni wazi kuwa wabunge wengi wamepoteza sifa ya uwakilishi kwa wananchi katika jengo lile la bunge mjini dodoma, wabunge wengi wameonekana kuwa wasemaji wa serikali na si wa wananchi! Kufuatia hali hiyo kwa uchunguzi wangu usio rasmi, nimegundua wako baadhi ya wabunge wachache bado wana moyo wa uzalendo kwa wananchi na taifa lao kiujumla! Wafuatao ni wabunge watano bora kwa uzalendo na utumishi uliotukuka kwa wananchi wao waliowatuma bungeni:

1. Mh. Tundu Lissu(chadema)-singida mashariki.
2. Mh. John Mnyika(chadema)- Ubungo.
3. Mh. Deo Filikunjombe(ccm)-Ludewa
4. Mh. Kangi Lugora(ccm)-Mwibara.
5. Mh. Halima mdee(chadema)-kawe!

Pongezi ziende kwa wananchi waliotuchagulia wabunge hao, pia pongeze ziende kwa waheshimiwa wahusika! Mungu awalinde na kuwapa baraka zake! Nawasilisha.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad