AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
|
Wakati Wenzetu wako Hapa |
|
Sisi tupo Hapa |
Hivi tatizo ni umasikini au ni matatizo yetu ya kufikiri? Maana hii sio tu huduma, bali ni biashara, tena biashara yenye manufaa kwa taifa na raia. Mfano, kwa basi sasa kutoka Dar kwenda Dom ni masaa 7 hadi nane, wakati Dar - Arusha ni masaa nane hadi tisa. Kwa usafiri wa treni za kisasa Dar - Dom ingechukua 2hrs na Dar - Arusha ingechukua 2.5hrs.
Mimi nafkiri inawezekana, tuache EXCUSE ya umasikini, tufikiri sawasawa, umasikini tunautengeneza wenyewe sasa.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
Tatizo sio umaskin bali kila mtu atajua mwenyewe......ndio kauli za viongozi wetu!
ReplyDelete