google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Updates: Tukio la Mlipuko wa Bomu katika Ufunguzi wa kanisa la St. Joseph Parokia ya Olasiti Arusha | UDAKU SPECIAL

Updates: Tukio la Mlipuko wa Bomu katika Ufunguzi wa kanisa la St. Joseph Parokia ya Olasiti Arusha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kwa sasa hali ya kawaida inaanza kurudi. Vyombo vya usalama vinaendelea kuchunguza ili kujua mlipuko huo ni nini hasa.
Balozi wa papa nchini na viongozi wa juu wa jimbo wameondoka eneo la tukio salama na balozi hajadhurika kabisa ingawa mlipuko huo ulilipuka karibu nao.
Mkuu wa mkoa alikuja na sasa ameondoka.
Wananchi wameanza kupungua eneo la tukio na wengi wanaelekea Mount Meru ili kuwatambua majeruhi. Hivyo idadi ya watu wanaondoka eneo la tukio na kwenda hospitali.
Polisi wamekamata pikipiki ambayo inasadikiwa imetumika katika tukio hilo.
Shughuli ya uzinduzi wa kanisa hilo imeahirishwa hadi tarehe ambayo haijatajwa
Mungu awajalie majeruhi wapate nafuu haraka.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. wakristo tumekuwa kimya sana,uu ni upuuzi wanaoufanya hawa watu,mwisho wake tutashindwa hata kuja kutembelewa na wageni kwa ujinga wa watu wachache wanaojifanya wanipenda sana dini yao na dini yao ndiyo ya maana sana

    ReplyDelete
  2. watangaze kuna ugaidi kama walivyofanya lilipotokea tukio la zanzibar, kumbe na nyinyi mnapenda kutembelewa na wageni

    ReplyDelete

Top Post Ad