AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Timu ya Taifa ya Brazil usiku wa saa 8 kuelekea sas 9 kwa saa za Afrika Mashariki waliweza kuwafunga Mabingwa wa Dunia na Mabigwa wa Ulaya timu ya Taifa ya Spain jumla ya Magoli 3-0 katika mchezo wa fainali ya kombe la Mabara na hivyo kuitimisha rekodi ya Spain ya kutofungwa mara 29 katika michezo ya ushindani.
Waliopeleka kilio cha Magoli kunako timu ya Spain walikuwa ni Fred aliefunga Magoli mawili huku lingine likitiwa nyavuni na Mchezaji anaekuja juu kwa sasa Neymar.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK