EX GIRLFRIEND WANGU ANAHISI TUMERUDIANA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Niliachana nae kitambo kidogo ila sikuhizi simuelewi kwani akipiga simu au akituma sms naona mahaba mengi.Imedumu kwa wiki 3 sasa....nikiwa kazini anapga simu...usiku kabla ya kulala lazime apige...huwa simpi ushirikiano 100% coz sina mpango nae ila yeye ha-notice hilo...juzi nikiwa kazini aliniambia anataka aje nyumban kesho yake ambayo ni ijumaa nikamwambia nitakuwa kazini.....akaniuliza kama nampenda nikamjibu kuwa sikuwahi kumchukia ila akasema nijbu NDIO AU HAPANA....ikabidi nimjibu ndio...sipo kwenye uhusiano wowote kwa sasa ila ctaki kuwa nae na KUMWAMBIA STOP NDIO NASHINDWA....kaniambia nimuelekeze nilipohamia ili leo aje.....hofu yangu ni kwamba cna girlfrnd kwasasa so anaweza akani-seduce nikasex nae halaf nikajuta.....NAOMBENI USHAURI NINI CHA KUFANYA KABLA SIJAMUELEKEZA KWANGU.

Source:Jamii forums
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. mhhh nadhani uko poa me ushauri wangu kama mwanzo ulimpnda haiwezi kuwa tabu labda kajirudi na kusahau ya nyuma we jikubali nenda kapime nae huwezi jua mungu kakupangia wapi

    ReplyDelete
  2. Run....run huwezi Jua kipindi mlichoachana kapita njia gan kupgiwa cmu na kutolewa saut za kimahaba kusihamshe hisia zako zilizokufa kitambo acha ku-hold vitu. Apo anakutumia km mdoli tu akiboreka anakutafuta akimalza haja zake anasepa

    ReplyDelete
  3. kwani wakati unamtaka ullijua kapita wapi? umekula umekinai unajifanya umtaki.

    ReplyDelete

Top Post Ad