AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na mwandishi wetu katikati ya wiki hii, Baby alisema alikuwa Mkoani Geita kwa ziara ya kikazi lakini alipigiwa simu na Wolper akimuomba msamaha kutokana na tofauti zao zilizosababishwa na nyumba ya kupanga.
“Nimeona bora yaishe kwa sababu Wolper amekubali kosa na mimi siwezi kuendeleza bifu lakini kama asingeniomba msamaha tungefikishana mbali,’’ alisema Baby Madaha na kuongeza:
“Nimemalizana na Wolper ila kesi itabaki kwa mwenye nyumba, nitapambana naye hadi atakaporejesha mkwanja wangu japokuwa nimepata nyumba nyingine maeneo ya Mikocheni.”
Wolper na Madaha waliingia kwenye bifu zito baada ya Madaha kukuta nyumba aliyoilipia shilingi milioni 3.6 kama kodi maeneo ya Kinondoni jijini Dar imechukuliwa na Wolper kabla yeye hajahamia
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ashukuriwe Mungu aliyejuu.
ReplyDeleteNimefurahi sana kusikia biff limeisha ni vizuri sana, upendo na maelewano ni kitu kizuri sana maishani coz hatujui ni lini tutarudi udongoni.
Nice WOLPER & MADAHA
mabeef hayana maana, yann muanze kuchukiana na mwenzako wakati mnaweza kuyamaliza!
ReplyDeleteHongren kwa uamuzi sahh.
Kwanza we madaha umehongwa na nani hiyo hela? Siunapanga kwa Bi nyau wewe elf 40 kwa mwezi? MmMmmm bi dada kweli uza nyago
ReplyDelete