AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Marehemu Devotha alijinyonga Juni 4 mwaka huu akiwa nyumbani kwa bosi wake eneo la Kitunda jijini Dar kwa wivu wa mapenzi.
Devotha alikuwa katika penzi na kijana mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Christopher anayedaiwa kuwa na wapenzi wengi kiasi cha kusababisha marehemu kuchukua uamuzi huo.
Baada ya kuagwa mwili wa Devotha umesafirishwa kuelekea Njombe kwa mazishi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
dwuu..!!!! pole devo
ReplyDeleteLAKINI JAMANI simmeona, marehem amesafirishwa kwenda Njombe. Bila Shaka ni wa Iringa, huko wenzetu kujinyonga ni sehemu tu ya MAISHA
ReplyDelete