AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Alvin Walter Makundi ni kijana mdogo wa Kitanzania anayeishi na wazazi
wake nchini Singapore. Akiwa na umri wa miaka 14 na mwanafunzi wa kidato
cha pili huko Singapore, tayari ameshatumbukiza jina lake katika
orodha ya wataalamu wa application katika moja ya makampuni makubwa
duniani ya kutengeneza simu za mkononi ya NOKIA, ambapo anatengeneza
applications ambazo anazituma katika kampuni hiyo ambayo nayo bila
hiana huitumia.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
Am sure 100% huyo dogo angesoma bongo asingepata fursa ya kuonyesha uwezo wake big up to him
ReplyDeletegud boy be blessed and keep it up
ReplyDeleteInaitwaje iyo aplication
ReplyDeleteInaitwaje iyo aplication
ReplyDeleteInaitwaje iyo aplication
ReplyDeleteInaitwaje iyo aplication
ReplyDeleteXafi kijana pig a hela za wazungu hao
ReplyDelete