AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tukio hilo lilinaswa na paparazi wetu ndani ya Ukumbi wa Sun Ciro,Ubungo jijini Dar kulikokuwa na uzinduzi wa Shindano la Kigori wa Tanzania ambapo Jack alikuwa ameongozana na rafiki yake, jina lake halikufahamika.
Akiwa ukumbini hapo, mwanadashosti huyo aliyeonekana kula kilevi cha bei mbaya, alikuwa akiwatoa udenda wanaume kutokana na kigauni chake hicho kifupi hadi wengine kufikia hatua ya kumchana kuwa, alijichoresha kwa kutovaa ‘kufuli’.
“Huyu naye! Ndo nini sasa kutovaa kufuli kwenye kadamnasi? Wasanii wetu bwana,” alisikika kijana mmoja huku Jack akionesha kutojali.
Source:GPL
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Chupi atakua kaisahau kwa bwanake baada ya kuchezea mjalabati wa haja
ReplyDeleteHii biashara
ReplyDeleteAtakuwa ana fangasi ndo maana havai chupi,si unajua fangasi wanatengeneza vidonda ukivaa chupi inaumiza,vp aliyepiga picha hakusikia inanuka,?.
ReplyDeleteItakua inanuka ndio maana ipo wazi inatema cheche
ReplyDeleteThis comment has been removed by the author.
ReplyDeleteKaona hainunuliwi,kamaamua aitangaze.
ReplyDeleteKaona hainunuliwi,kamaamua aitangaze.
ReplyDeleteKawaida sana af akiweza atembee uchi kabisa,hakuna cha kushangaa hapo kila kitu tumekizoea
ReplyDelete