AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa rasmi zilithibitishwa jana jioni kuwa Mourinho amesaini Mkataba wa miaka minne hii ikiwa ni mara ya pili kwa Mourinho kufanya kazi klabu hiyo ya London.
Mwalimu huyo mwenye umri wa miaka 50 tayari ataanza kazi Chelsea wiki hii ambapo mechi yake ya kwanza ikitarajiwa kuwa kwenye mtanange wa matayarisho nchini Thailand dhidi ya Singha All Stars XI, katika ziara ya huko Malaysia na Indonesia.
Baada ya hapo The Blues wataenda Marekani kwenye michuano ya International Champions Cup itakayohusisha timu za Real Madrid na Inter Milan, pia Everton, Juventus, AC Milan, Valencia na LA Galaxy.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK